Kuwa Tajiri Kupitia Kilimo cha Matikiti Maji



Mahitaji
1. Shamba la eka 5
2. Mbegu
3. Gharama za uendeshaji wa shamba
Matikiti maji aina ya Sugar baby yanachukua siku 60 toka kupandwa hadi kuvuna na kwa mwaka unaweza kulima mara 4 .
Upandaji:
Nafasi ya shimbo moja kwenda lingine ni 2mx2m na kila shimo unatakiwa kuweka mbegu 2 ambazo zinazaa matunda 2 - 3 ambayo wakati wa mavuno hukupatia matunda 4 - 6
Hivyo kwa spacing hiyo napata mashimo 1000-1200
Idadi ya matunda
Mashimo x Matunda kwa shimo x ekari 1,000 x 5 x 5 = 25,000
Mapato
Wastani wa shilingi 500 kwa tikiti x idadi ya matikiti kwa eneo la ekari 5 25,000 x 500 = 12,500,000
Mapato kwa mwaka
12,500,000 x 4 = 50,000,000
Gharama za uendeshaji wa shamba kwa mwaka ni Tsh 25,000,000
0 comments: